Posts

KONGAMANO LA NNE LA TEHAMA KUFANYIKA OCTOBA 7 HADI 9

Image
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano), Dkt. Zainabu Chaula (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari na menejimenti ya Wizara hiyo (hawapo pichani) kuhusu Kongamano la Nne la TEHAMA litakalofanyika Oktoba 7-9 katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa  Julius Nyerere Dar es Salaam, kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Kuendeleza Sekta ya Fedha Tanzania (FCDT) Sosthenes Kewe Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya TEHAMA, Samson Mwela akizungumza  katika Mkutano wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano), Dkt. Zainabu Chaula (katikati) na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu Kongamano la Nne la TEHAMA litakalofanyika Oktoba 7-9 katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam, kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Jim Yonaz   Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Kuendeleza Sekta ya Fedha Tanzania (FCDT) Sosthenes Kewe(kulia) akizungumza katika Mkutano wa Katibu Mkuu w

DKT. ABBASI: SGR NI MRADI UNAOKWENDA KULETA MAENDELEO YA WATU NCHINI

Image
NA ELEUTERI MANGI, MOROGORO UJENZI wa Reli ya ya Kisasa (SGR) nchini unalenga kuleta maendeleo ya watu kwa kurahisisha muda wa usafiri wa abiria na usafirishaji wa mizigo ambapo kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro itakuwa ni saa tatu au dakika 90 hatua itakayopunguza muda mwingi unaopotea barabarani na kuwafanya wananchi kuwahi kufanyakazi nyingine za maendeleo. Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi amesema hayo leo Ihumwa jijini Dodoma wakati anawaaga Menejimenti ya Wizara hiyo kuanza ziara ya kutembelea mradi wa SGR ili kujionea maendeleo yake ikizingatiwa hiyo ndiyo ni Wizara yenye dhamana kuisemea Serikali kupitia Idara ya Habari (MAELEZO). “Wizara ya Habari ni Wizara muhimu sana katika nchi yetu na mradi huu pia. Ndiyo wizara yenye dhamana na habari kwa maana hiyo tumekuwa tukiutangaza sana, na kuukiulinda mradi huu ili kuwaonesha watanzania nini kinaendelea kwenye huu mradi” alisema Dkt. Abbasi. Dkt. Abbasi

TBS YAFIKIA WADAU ZAIDI YA 300 WA MAFUTA

Image
  ******************************************* Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limeandaa mpango wa mafunzo kwa wazalishaji, wasambazaji na wauzaji wa mafuta ya kula mkoani dodoma yatakayofanyika halmashauri ya wilaya ya Kondoa , Kongwa, Mpwapwa, Kibaigwa na Chamwino, Dodoma jiji, Bahi, Manyoni na Itigi. Mafunzo haya yamelenga kuwaelimisha wadau hao juu ya uzalishaji bora, uhifadhi sahihi wa bidhaa za mafuta haswa sehemu za kuuzia, ufungashaji sahihi na salama na umuhimu wa kuzingatia na kuweka taarifa sahihi na muhimu katika vifungashio. TBS imetoa elimu hii kwa kushirikiana na Wizara ya viwanda, maafisa biashara, afya na maendeleo wa wilaya ili kuhakikisha wadau wanaweza kuja na maazimio ya moja kwa moja ili kuwasaidia kuzalisha bidhaa ambazo ni bora ili kuweza kulinda walaji vilevile na kujiongezea masoko. Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora (TBS),Bw. Lazaro Msasalaga aliwashauri wadau hao kuzingatia kanuni za uzalishaji na uhifadhi bora na salama ili kuepuka kupoteza masoko na kero y

KUTOKA MAGAZETINI LEO JUMAMOSI SEPTEMBA 26, 2020

Image
 

PROF. MSANJILA ASHUHUDIA KILO 2,271 YA MADINI YA BATI IKIUZWA

Image
Katibu Mkuu Wizara Madini Prof. Simon Msanjila akisaini Kitabu katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Rashidi Mwaimu. Katibu Mkuu Wizara ya Madini Prof. Simon Msanjila akieleza jambo kwenye Mkutano uliofanyka katika Soko la Madini ya Bati la Wilaya ya Kyerwa Mkoani Kagera. Baadhi ya washiriki walioshiriki Mkutano wa Katibu Mkuu Wizara Madini Prof. Simon Msanjila katika Soko la Madini ya Bati la Wilaya ya Kyerwa Mkoani Kagera. Katibu Mkuu Wizara ya Madini Prof. Simon Msanjila akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi mbalimbali wa Serikali katika Soko la Madini ya Bati la Wilaya ya Kyerwa Mkoani Kagera. Katibu Mkuu Wizara ya Madini Prof.Simon Msanjila ameshuhudia biashara ya Madini ya Bati (Tin) ikifanyika ambapo Shirika la Taifa la Uchimbaji Madini (STAMICO) likifanya manunuzi Kilo 2,271 ya Madini ya Bati yenye thamani ya shilingi Milioni 34 kutoka kwa Wachimbaji Wadogo. Katika ziara yake hiyo, Prof. Msanjila alitembelea Soko la Madini la Wilaya ya Kyerwa Mkoani Kagera na kuzungumza

MAZIWA YA NG’OMBE NI KWAAJILI YA MTOTO WA NG’OMBE-DKT JESCAR LEBA

Image
  Mganga mkuu wa halmashauri ya manispaa ya Iringa Dokta Jescar Leba amewataka wakinamama wanaojifungua kufuata maelekezo ya wataalamu ikiwemo kutowaongezea chakula chochote watoto pindi wanapozaliwa hadi kufikia umri wa miezi sita kwa lengo la kulinda afya zao. Dokta Leba ametoa rai hiyo kwenye shughuli ya wakina mama wenye watoto chini ya miezi 6 ijulikanayo kama “Mother Meetup” iliyoandaliwa na na mradi wa USAID TULONGE AFYA kupitia jukwaa la NAWEZA kwa lengo la kuwakumbusha wakinamama hao juu ya malezi bora ya watoto ambapo amesema watoto wanaozaliwa hawapaswi kuongezewa chakula chochote kwakuwa nyongeza hiyo ya chakula inaweza kuathiri afya na ukuaji wao kimwili na kiakili. Aidha Dokta leba ameongeza kuwa zipo mila na desturi mbaya zilikuwa zinaathiri kampeni hiyo lakini kwa juhudi za serikali na wadau wa maendeleo, jamii imeelewa umuhimu wa unyonyeshaji maziwa ya mama pekee na kuanza kufuata utaratibu huo na kuongeza kuwa kwa mujibu wa takwimu walizonazo kwasasa unyonye

ERB YAFANYA UKAGUZI UJENZI WA BARABARA MJI WA SERIKALI MTUMBA JIJINI DODOMA

Image
Mtaalam wa ujenzi wa viwanja vya ndege eng. Focus Kadeghe akifafanua jambo kwa wahandisi kutoka Bodi ya Usajili wa wahandisi nchini  (ERB), walipokagua ukarabati wa kiwanja cha ndege cha Dodoma. Msajili wa Bodi wa Wahandisi nchini (ERB), Eng. Patrick Barozi akifafanua jambo alipokagua mradi wa ujenzi wa barabara katika mji wa Serikali Mtumba mkoani Dodoma. Muonekano wa barabara zinazojengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Serikali Mtumba mkoani Dodoma. Muonekano wa kalvat linalojengwa kuunganisha barabara za mzunguko  katika mji wa Serikali Mtumba mkoani Dodoma. Eng. Nzigula Sospeter mkuu wa kituo cha kupokea, kupoza na kusambaza umeme cha Zuzu jijini Dodoma akifafanua jambo kwa wahandisi toka  (ERB),hawapo pichani walipokagua ukarabati wa kituo hicho.   

MBWANA SAMATTA AANZA MAZOEZI NA TIMU YAKE MPYA, FERNABERHCE

Image
MWANASOKA wa Kimataifa KUTOKA Tanzania MBWANA Ally SAMATTA amejiunga na timu ya ligi kuu nchini Uturuki Fernerbahce kwa mkopo akitokea Aston Villa ya Uingereza.  Tayari Samatta ametambulishwa kwa wachezaji wenzake na ameanza mazoezi rasmi leo Septemba 25, 2020 Kama ambavyo picha zinavyoonyesha.  

KUTOKA MAGAZETINI LEO IJUMAA SEPTEMBA 25, 2020

Image