Posts

RC TABORA KUUNDA TIMU YA KUSHIRIKIANA NA TRC KUFUFUA KARAKANA YA SAMANI

Image
  Mkuu wa Mkoa wa Tabora Balozi Dkt. Batilda Buriani (mwenye ushungi) akipata maelezo leo kutoka kwa Mhandisi Mitambo wa Shirika la Reli Tanzania(TRC) Kanda ya Tabora Rudolf Ngalason jinsi ya ukarabati wa vichwa vya treni unavyofanyika katika Karakana ya Reli iliyopo eneo la Cheyo mjini Tabora. Mkuu wa Mkoa wa Tabora Balozi Dkt. Batilda Buriani (kushoto) akisisitiza jambo leo wakati ziara yake ya kujitambulisha na kukagua shughuli mbalimbali za Shirika la Reli Tanzania(TRC) Kanda ya Tabora.  Mkuu wa Mkoa wa Tabora Balozi Dkt. Batilda Buriani (katikati) akiwa katika picha ya pamoja leo na baadhi ya Watendaji wa Shirika la Reli Tanzania(TRC) Kanda ya Tabora na watumishi wa Chuo cha Teknolojia ya Reli cha Tabora.  Mkuu wa Mkoa wa Tabora Balozi Dkt. Batilda Buriani (katikati) akitoa majumuisho ya ziara yake leo kwa baadhi ya watendaji wa Shirika la Reli Tanzania(TRC) Kanda ya Tabora na watumishi wa Chuo cha Teknolojia ya Reli cha Tabora.      Mkuu wa Mkoa wa Tabora Balozi Dkt. Batilda Buri

KUTOKA MAGAZETINI LEO IJUMAA JULAI 23, 2021

Image
 

NAIBU WAZIRI KUNDO AWATAKA WATAALAM WA TEHAMA HALMASHAURI WATOSHE KATIKA NAFASI ZAO

Image
Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhandisi Kundo Mathew (wa tatu kulia) akizungumza katika eneo la mnara wa Tigo uliojengwa kwa mchango wa ruzuku toka Serikalini kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) anayefuatia ni Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe. Basilla Mwanukuzi wengine ni watendaji aliombatana nao   Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhandisi Kundo Mathew (Kushoto) akizungumza na Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mhe. Siriel Mchembe ofisini kwake kabla ya kuanzxa ziara ya kukagua ubora na uwezo wa miundombinu ya mawasiliano katika Wilaya hiyo Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhandisi Kundo Mathew (wa pili kulia) akitoa pole kwa wafiwa na waombolezaji waliokuwa katika msiba katika Kijiji cha Magila gereza Wilayani Korogwe alipotembelea kijijini hapo kukagua ubora na upatikanaji wa huduma ya mawasiliano katika eneo hilo, kulia kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe. Basilla Mwanukuzi Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Haba

KUTOKA MAGAZETINI LEO ALHAMISI JULAI 22, 2021

Image
 

WAZIRI MKUU ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI NA WAUMINI

Image
*Asema chanjo ya UVIKO-19 ipo nchini wenye nia wakachanje     WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa rai kwa viongozi wa dini na waumini waendelee kuvumiliana, kustahamiliana na kushikamana katika kufanya ibada na kuienzi tunu ya amani.   “Tuendelee kufanya ibada, kuwaombea wenzetu waliotangulia mbele za haki, tuoneshane upendo na mshikamano hata baada ya kumalizika kwa masiku haya kumi bora ya Dhul Hijja.”   Waziri Mkuu ametoa rai hiyo leo (Jumatano, Julai 21, 2021) katika Baraza la Eid El Adha lililofanyika katika Msikiti wa Mtoro, Ilala jijini Dar es Salaam.   Amesema kila Mtanzania anapaswa kutambua kwamba anao mchango mkubwa katika kutunza na kuimarisha amani ya nchi, hivyo amewasihi wananchi wote waendelee kuitunza tunu hiyo.   Kadhalika, Waziri Mkuu ametumia fursa hiyo kuwakumbusha na kuwasisitiza wananchi wote waendelee kuchukua hatua za kujikinga na ugonjwa wa UVICO-19.   “Tuendeleze tabia ya kunawa mikono mara kwa mara na maji safi yanayotiririka na sabuni na tukikosa maji tutumi

MBUNGE WA BUCHOSA ERICK SHIGONGO AZINDUA TAASISI YA "KIJIJI", ITAJENGA KITUO CHA ELIMU YA UFUNDI STADI KUSAIDIA JAMII ZA WANAOISHI MAENEO YA VIJIJINI

Image
NA MWANDISHI WETU, SENGEREMA MRADI wa uanzishwaji wa Kituo kitakachosaidia kuondoa changamoto zinazoikabili jamii nchini hususan maeneo ya vijijini, umetambulishwa kwa wananchi wilayani Sengerema mkoani Mwanza na Mbunge wa Jimbo la Buchosa Mhe. Erick Shigongo. Mradi huo utakaokuwa chini ya Taasisi ya  “Kijiji”  utatekelezwa   katika Kijiji cha Kasisa jimbo la Buchosa, Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza, umebuniwa na Familia ya Aliyekuwa Mbunge wa Kwanza wa Kuchaguliwa jimbo la Sengerema kati ya mwaka 1965-1985, marehemu Alphonce Rulegura, ili kuenzi nia yake njema ya kuwawezesha wananchi wa jimbo hilo kuondokana  na umasikini. Akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa Taasisi hiyo mjini Sengerema, Mbunge wa jimbo la Buchosa ambalo liko wilayani humo, Mhe. Erick Shigongo alisema, mradi huo utaleta faida kubwa sio tu kwa wanakijiji wa Kasisa na maeneo jirani lakini pia nje ya jimbo la Buchosa. “ Kilichofanyika hapa leo hii ni baraka kubwa sana na nina uhakika marehemu Rulegura huko aliko