SHIRIKA LA ESTL LATOA MAFUNZO KWA WAJUMBE WA KAMATI YA MTAKUWWA KATA YA MSANGE WILAYA YA SINGIDA
Afisa Miradi wa Shirika la Empower Society Transform Lives (ESTL) linalojishughulisha na utoaji wa huduma ya uelimishaji jamii kuondokana na Ukatili wa kijinsia, ikiwemo ukeketaji, na mila potofu katika Mkoa wa Singida kwa ufadhili wa Ubalozi wa Uholanzi, Annamaria Mashaka, akizungumza na wajumbe wa kamati ya ulinzi wa mwanamke na mtoto (MTAKUWWA) wa Kata ya Msange wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo yaliyofanyika jana Halmashauri ya Wilaya ya Singida. Afisa Mwezeshaji wa Mwanamke na Maendeleo wa shirika hilo Edna Mtui, akizungumza katika mafunzo hayo. Afisa Mtendaji wa Kata ya Msange, Clement Jumbe akizungumza katika mafunzo hayo/ Mafunzo yakiendelea. Mjumbe wa Kamati hiyo Sheikh Hassan Ipande akizungumza katika mafunzo hayo/ Mjumbe wa Kamati hiyo Felister John akizungumza kwenye mafunzo hayo/ Mjumbe wa Kamati hiyo Theresia Yambi akizungumza kwenye mafunzo hayo. Mafunzo yakiendelea. Mafunzo yakiendelea. Na Dotto Mwaibale, Singida. SHIRIKA la Empower Society Transform Live