BANCABC YASHIRIKI KONGAMANO LA KUCHOCHEA UCHUMI TEGEMEZI KWA WATU WENYE ULEMAVU JIJINI DODOMA
Mgeni Rasmi wa Mkutano Mkuu wa Uchumi na Mapendekezo ya Siku ya Mwanamke Mwenye Ulemavu Tanzania, Dk Tulia Ackson akizungumza wakati wa mkutano huo uliofanyika jijini Dodoma, jana. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria, Amon Mpanju na Mwenyekiti wa Taasisi iliyoandaa mkutano huo ya Ikupa Trust Fund, Stella Ikupa (wa tatu kushoto) Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya ABC, Imani John Bgoya akizungumza wakati wa Mkutano Mkuu wa Uchumi na Mapendekezo ya Siku ya Mwanamke Mwenye Ulemavu Tanzania uliofanyika jijini Dodoma, jana. Katikati ni Mgeni Rasmi wa mkutano huo, Naibu Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson. Mkutano huo uliandaliwa na Taasisi isiyo ya Kiserikali ya Ikupa Trust Fund. Baadhi ya watendaji wa Benki ya ABC wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikiwasilishwa wakati wa Mkutano Mkuu wa Uchumi na Mapendekezo ya Siku ya Mwanamke Mwenye Ulemavu Tanzania uliofanyika jijini Dodoma, jana. Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angelina Mabula akiwa katika