UZINDUZI WA MKUTANO WA WADAU WA AFUA ZA VVU NA UKIMWI DODOMA
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Protabas Katambi akikagua banda la Epidemic Control (EPIC) wakati wa Mkutano wa Mwaka wa wadau wanaotekeleza Afua za VVU na UKIMWI zinazowalenga wasichana Balehe na Wanawake Vijana unaofanyika leo April 29 jijini Dodoma. Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Protabas Katambi akizungumza na Vijana wakati wa Mkutano wa Mwaka wa wadau wanaotekeleza Afua za VVU na UKIMWI zinazowalenga wasichana Balehe na Wanawake Vijana unaofanyika leo April 29 jijini Dodoma. Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Protabas Katambi akikagua banda la Amref Tanzania wakati wa Mkutano wa Mwaka wa wadau wanaotekeleza Afua za VVU na UKIMWI zinazowalenga wasichana Balehe na Wanawake Vijana unaofanyika April 29 jijini Dodoma. Picha na Raymond Mushumbusi WAMJW Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Protabas Katambi akikagua banda la Tanzania Youth Alliance (TAYOA) wakati wa Mkutano wa Mwaka wa wadau wanaotekeleza Afua za VVU na UKIMWI zinazowalenga wasichana Balehe na Wanawake Vijana unaofany