Posts

DKT. NDUGULILE AZIPA SIKU 30 TAASISI ZA UMMA ZINAZODAIWA NA TTCL KULIPA MADENI

Image
Na Prisca Ulomi, WMTH Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile amezipa siku 30 taasisi za umma zinazodaiwa na Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kulipa madeni kwa Shirika hilo ili liweze kujiendesha, kutekeleza majukumu yake ya kutoa huduma ya mawasiliano ya sauti na data kwa taasisi za Serikali, sekta binafsi na wananchi ili kukuza uchumi na kuchangia pato la taifa. Dkt. Ndugulile ameyasema hayo wakati wa ziara yake alipotembelea TTCL kwa lengo la kufahamiana na kuzungumza na wajumbe wa Bodi, Menejimenti na wafanyakazi wa TTCL, Dar es Salaam ambapo aliambatana na Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Mhandisi Kundo A. Mathew na Mejimenti ya Wizara hiyo Ameongeza kuwa zaidi ya taasisi 20 za Serikali zinadaiwa na TTCL zaidi ya kiasi cha shilingi bilioni 30 ambapo zipo taasisi zinatumia huduma za mawasiliano za TTCL na zinakusanya mapato ya zaidi ya shilingi bilioni moja kwa mwezi ila hawako tayari kulipa huduma za TTCL Vile vile, ametoa onyo kali kwa kampuni zin

RAIS WA ZANZIBAR MHE.DK HUSSEIN ALI MWINYI AWATUNUKU SHAHADA WAHITI WA SUZA LEO D

Image
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi ametawazwa kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) na Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA) Ndg. Mwita Mgeni Mwita na (kulia kwa Rais) Makamu Mkuu wa Chuo Dkt.Zakia Mohamed Abubakar, hafla hiyo imefanyika wakati wa Mahafali ya 16 ya SUZA yaliofanyika katika ukumbi wa Dk.Ali Mohamed Shein Tunguu Wilaya ya Kati Unguja leo30/12/2020.(Picha na Ikulu) MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, Makamu wa Pili wa Rais Mstaaf Mhe.Balozi Seif Ali Iddi, Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe Zuberi Ali Maulid, Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee na Naibu Spika Mhe Mgeni Hassan Juma, wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, ambae pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika hafla ya Mahafali ya 16 ya SU

CHAMURIHO AKAGUA VIGWAZA

Image
Muonekano wa hatua iliyofikiwa ya sehemu ya mzani katika mradi wa Kituo cha pamoja cha Ukaguzi (OSBP), Vigwaza Mkoani Pwani. Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi, Dkt. Leonard Chamuriho, akimsikiliza Meneja wa Wakala wa Barabara Nchini (TANROADS) Mkoa wa Pwani Mhandisi Wilicis Mwageni, wakati akitoa taarifa ya maendeleo ya mradi wa Kituo cha pamoja cha Ukaguzi (OSBP), alipokagua mradi huo mkoani Pwani. Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho, akitoa maelekezo kwa Meneja wa Wakala wa Barabara Nchini (TANROADS) Mkoa wa Pwani, Mhandisi Wilicis Mwageni, alipokuwa akikagua maendeleo ya mradi wa Kituo cha pamoja cha Ukaguzi (OSBP), Mkoani Pwani . Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi  Dkt.Leonard Chamuriho, akifafanua jambo kwa Wahandisi alipotembelea na kukagua mradi wa Kituo cha pamoja cha Ukaguzi (OSBP), mkoani Pwani,  ambao kwa sasa umefikia asilimia 90 .  

MAJALIWA AKISALIMIANA NA WAPIGA KURA KATIKA MITAA YA RUANGWA

Image
Waziri Mkuu ambaye pia ni Mbunge wa Ruangwa, Kassim Majaliwa akisalimiana na wapiga kura  katika mitaa inayozunguka soko  la Ruangwa, Desemba 28, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)       

ZIMAMOTO YAELEZA UTENDAJI WAKE 2020

Image
 

MASHIMBA:MIKAKATI MADHUBUTI YAHITAJIKA KUIMARISHA VUWANDA VYA NYAMA NCHINI

Image
  Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe.  Mashimba Mashauri akiwa kwenye ziara ya kukagua viwanda Mbalimbali vilivyopo mkoni Pwani kwenye ziara yenye lengo la kujionea utendaji kazi wa viwanda hivyo. Kaimu Bodi ya Nyama Nchini Imani Sichalwe akizungumzia jitihada za Bodi ya Nyama kutatua changamoto ya vibali vya Nyama nje ya nchi kwa zile nchi ambazo viwanda vyetu vya Nyama vinahitaji kupeleka Nyama. Na Vero Ignatus, Pwani Ili sekta ya mifugo iweze kubadilika na kuchangia kwa kiasi kikubwa kwenye pato la Taifa na kuondoa umaskini kwenye nchi ni lazima iwepo mikakati madhubuti ya kuimarisha viwanda vya ndani vya nyama nchini. Hayo yamesemwa na waziri wa mifugo na uvuvi , Mashimba Mashauri akiwa kwenye ziara ya kukagua na kujionea maendeleo ya viwanda mbalimbali vilivyopo mkoani pwani ambapo baada ya kujionea shughuli zinazofanywa na kiwanda cha kisasa cha nyama tanchoice kilichopo soga kibaha mkoani pwani,mheshimiwa waziri amepongeza uwekezaji huo mkubwa uliofanywa na kiwanda hi

KUTOKA MAGAZETINI LEO DESEMBA 30, 2020

Image