PINDA:KILIMO PEKEE NDICHO KITAONDOA UMASIKINI TANZANIA.
Katibu wa Chama cha Wachumi Kilimo Tanzania (AGREST) Dkt. Betty Waized akitoa salamu za Chama hicho na malengo ya mkutano huo kabla ya kumkaribisha Mgeni rasmi kwaajili ya ufunguzi. Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania Mizengo Pinda akitoa nasaha zake mbele ya Wataalamu hao wa Uchumi Kilimo wakati akifungua rasmi mkutano huo wa 12 wa Kisayansi wa Chama hicho mjini Dodoma. Profesa. Aida Isinika akimkabidhi Pinda zawadi maalumu iliyotolewa na chama hicho kama kumbukumbu. Mkutano ukiendelea. Mkutano ukiendelea. Mkutano ukiendelea. Wanachama wa AGREST na Mgeni rasmi Mizengo Pinda mara baada ya ufunguzi wa mkutano huo wa 12 wa kisayansi. Washiriki wa mkutano wakifuatilia hotuba za ufunguzi. Washiriki wa mkutano wakifuatilia hotuba za ufunguzi. Na Calvin Gwabara, Dodoma Imeelezwa kuwa Tanzania haitaweza kuondoa umasikini wala kupiga kasi ya Kim aendelee kwa Wananchi wake endapo swala la Kilimo Bora na cha kisasa halitapewa kipaumbele na Serikali, Watafiti na wadau wengine wa kilimo. Hayo yam