Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Isdor Mpango akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa, CP. Diwani Athuman Msuya alipowassili kuwapa pole Wana familia kufuatia kifo cha kaka mkubwa wa Mkurugenzi huyo Bw. Bisward Msuya kilichotokea Agosti 3, 2021.
8/05/2021
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment