7/30/2021

RAIS MSTAAFU KIKWETE AHUDHURIA MKUTANO WA KIMATAIFA UNAOJADILI MASUALA YA ELIMU

 

Rais mstaafu wa serikali ya awamu ya nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, akihutubia mkutano wa Kimataifa kuhusu Elimu jijini London nchini Uingereza Julai 29, 2021. Rais mstaafu Kikwete ni Makamu Mwenyekiti Mteule wa Bodi ya Ushirikiano wa Elimu Duniani (GPE). Mkutano huo umehudhuriwa na viongozi mbalimbali kutoka nchi za kiafrika akiwemo Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya, Rais Muhamaadu Buhari wa Nigeria, Rais Nana Akufo-Addo wa Ghana, Rais wa Malawi, Lazarus Chakwera, Rais wa Togo Faure Gnassingbe na mwenyeji Waziri Mkuu wa Uingereza, Borris Johnson. 





    

0 comments:

Post a Comment