JK ACHUKUA "USUKANI" TAASISI YA MFUKO WA WASHIRIKA WAFADHILI WA ELIMU DUNIANI (GPE)

 

Viongozi,  Rais Uhuru Kenyata wa Kenya, Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Tanzania  Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali  Zanzibar, Mhe. Simai Mohammed Said na Viongozi kutoka nchi mbalimbali wakiwa katika  Mkutano Mkuu wa Mfuko wa Washirika Wafadhili wa Elimu Duniani ( GPE) uliofanyika London ,Uingereza

Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete ni Mwenyekiti wa Mfuko wa Washirika Wafadhili wa Elimu Duniani -Global Partnetship in Education (GPE).


Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete (katikati) Mwenyekiti wa Mfuko wa Washirika Wafadhili wa Elimu Duniani -Global Partnetship in Education (GPE), akiwa katika Picha ya pamoja na WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Tekanolojia, Profesa Joyce Ndalichako(kushoto) na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali, Zanzibar, Mhe. Simai Mohammed Said, wakati wa mkutano huo.
Rais mstaafu wa Tanzania na Mwenyekiti anayefuata wa GPE, Dkt. Jakaya Kikwete, akizungumzia kwenye mkutano wa Kimataifa kuhusu masuala ya Elimu jijini London nchini Uingereza Julai 29, 2021. amemuahidi mtangulizi wake kuwa wataimarisha Taasisi ili kusaidia mabadiliko chanya katika mfumo wa Elimu duniani.
 

Comments

Popular posts from this blog

CV YA KOCHA MPYA WA SIMBA PABLO FRANCO MARTIN "USIPIME"