7/29/2021

JENERALI STEPHEN TOWNSEND WA JESHO LA MAREKANI AFUNGUA MAZOEZI YA PAMOJA VIKOSI MAALUM JWTZ NA MAREKANI NCHINI

Jenerali wa Jeshi la Marekani Stephen Townsend, Kamanda wa US Africa Command alikuwa na ziara siku 2 nchini kuanzia 27-28 Julai, 2021 na alikutana na maafisa wa kijeshi waandamizi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na kufungua mazoezi ya pamoja, vikosi maalumu, ya kwanza ya aina yake.


 

    

0 comments:

Post a Comment