Jenerali wa Jeshi la Marekani Stephen Townsend, Kamanda wa US Africa Command alikuwa na ziara siku 2 nchini kuanzia 27-28 Julai, 2021 na alikutana na maafisa wa kijeshi waandamizi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na kufungua mazoezi ya pamoja, vikosi maalumu, ya kwanza ya aina yake.
7/29/2021
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment