Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akizungumza na wanahabari mara baada ya
mazungumzo yao Rasmi na Rais wa Jamhuri ya Botswana Dkt. Mokgweetsi Eric Keabetswe
Masisi Ikulu Jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Botswana Dkt. Mokgweetsi
Eric Keabetswe Masisi akizungumza na Wanahabari Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe
10 Juni 2021.
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiongoza Ujumbe
wa Tanzania katika mazungumzo na Ujumbe wa Botswana uliokuwa ukiongozwa na Rais
wao Dkt. Mokgweetsi Eric Keabetswe Masisi Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Botswana Dkt. Mokgweetsi Eric Keabetswe Masisi kabla ya kuanza mazungumzo yao Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 10 Juni 2021.(PICHA NA IKULU).
0 comments:
Post a Comment