WAZIRI BASHUNGWA AKUTANA NA VIONGOZI WA VYOMBO VYA HABARI VYA DINI
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Innocent Bashungwa amekutana na Viongozi wa Vyombo vya habari vya taasisi za Dini nchini (TAREMA - Tanzania Religious Media Association) Kujadili juu ya changamoto ya Leseni za usajili wa vyombo vya vya habari vya taasisi za kidini Nchini. katika Ukumbi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) 15 April 2021.
Comments
Post a Comment