WAZIRI SIMBACHAWENE AWATAKA WANANCHI KUTUNZA MAZINGIRA, AWAONYA VIONGOZI WA VIJIJI
Waziri wa Mambo ya
Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kibakwe, George Simbachawene, akizungumza
na wananchi wa Kata ya Rudi, Jimbo kwake, Wilayani Mpwapwa, leo, ambapo
amewataka wananchi wa Kata hiyo kutunza mazingira kwa kutofanya shughuli za
kilimo au kukata miti milimani jimboni humo. Pia amewaonya Watendaji wa Vijiji
wanaoshirikiana na waharibifu wa mazingira katika maeneo hayo
Waziri wa Mambo ya
Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kibakwe, George Simbachawene, akizungumza
na wananchi wa Kata ya Rudi, Jimboni kwake, Wilayani Mpwapwa, leo, ambapo
amewataka wananchi wa Kata hiyo kutunza mazingira kwa kutofanya shughuli za kilimo
au kukata miti milimani jimboni humo. Pia amewaonya Watendaji wa Vijiji wanaoshirikiana
na waharibifu wa mazingira katika maeneo hayo.
Waziri wa Mambo ya
Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kibakwe, George Simbachawene, akizungumza
na wanafunzi wa shule ya msingi Rudi iliyopo katika Kata ya Rudi, Jimbo la
Kibakwe, Wilayani Mpwapwa, leo, wakati alipofika shuleni hapo kwa ajili ya
kukagua madarasa yanayojengwa katika shule hiyo kongwe iliyojengwa mwaka 1950
Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kibakwe, George
Simbachawene, akiingia katika darasa la shule ya msingi Rudi, lililojengwa
mwaka 1950 katika Kata ya Rudi, Jimbo la Kibakwe, Wilayani Mpwapwa. Aliiagiza
darasa hilo likarabatiwe bila kubadilishwa muonekano wake. Picha Wizara ya Mambo ya Ndani ya
Nchi.
Comments
Post a Comment