Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akitoka kukagua
Majengo ya Madarasa ya Chuo cha Taaluma cha Polisi Kurasini mkoani Dar es
Salaam mara baada ya kuyafungua leo tarehe 26 Februari 2021.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Maafisa mbalimbali wa Jeshi la Polisi pamoja na Wananchi mara baada ya kuweka jiwe la msingi Ujenzi wa Kiwanda cha ushonaji Bohari Kuu ya Jeshi la Polisi na kufungua Ofisi, Madarasa na Mabweni ya Chuo cha Taaluma cha Polisi Kurasini mkoani Dar es Salaam leo tarehe 26 Februari 2021.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Maafisa mbalimbali wa Jeshi la Polisi pamoja na Wananchi mara baada ya kuweka jiwe la msingi Ujenzi wa Kiwanda cha ushonaji Bohari Kuu ya Jeshi la Polisi na kufungua Ofisi, Madarasa na Mabweni ya Chuo cha Taaluma cha Polisi Kurasini mkoani Dar es Salaam leo tarehe 26 Februari 2021.
Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Waziri wa
Mambo ya Ndani ya Nchi George Simbachawene wakati akiweka jiwe la msingi la
ujenzi wa Kiwanda cha Ushonaji Bohari Kuu ya Jeshi la Polisi Kurasini mkoani
Dar es Salaam leo 26 Februari 2021.
Mabweni ya Chuo
cha Taaluma cha Polisi Kurasini mkoani Dar es Salaam kama yanavyooekana mara
baada ya kufunguliwa leo tarehe 26 Februari 2021 na Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
Madarasa na
Mabweni ya Chuo cha Taaluma cha Polisi Kurasini mkoani Dar es Salaam leo tarehe
26 Februari 2021.
Maafisa
mbalimbali wa Jeshi la Polisi pamoja na wananchi wakisikiliza hotuba ya Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli katika Chuo
cha Taaluma cha Polisi Kurasini mkoani Dar es Salaam leo tarehe 26 Februari
2021.
0 comments:
Post a Comment