RAIS WA ZABNZIBAR DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEFUNGUA MKUTANO MKUU WA MWAKA WA WADAU AFFORD .ROG

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuufungua Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Mapitio ya Wadau wa Programu ya Uwajibikaji na utekelezaji wa huduma za Kinga kwa Wazee (AFFORD) uliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
BAADHI ya Viongozi wa Jumuiya ya Wazee Wastaaf Zanzibar wakifuatilia hutuba ya ufunguzi ya mkutano huo wa mwaka, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia na kuufungua mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
BAADHI ya Viongozi wa Jumuiya ya Wazee Wastaaf Zanzibar wakifuatilia hutuba ya ufunguzi ya mkutano huo wa mwaka, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia na kuufungua mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
BAADHI ya Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakifuatilia hafla ya ufunguzi wa mkutano wa mwaka wa Wadau (AFFORD) wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia na kuufungua mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
WASHIRIKI wa Mkutano wa Mwaka wa mapitio ya wadau ya program ya uwajibikaji na utekelezaji wa huduma za kinga kwa Wazee (AFFORD) wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa mkutano huo wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia na kuufungua mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
NAIBU Balozi wa Ireland Nchini Tanzania Bi.Chloe Horne akizungumza wakati wa hafla ya ufunguzi wa Mkutano wa Mwaka wa Mapitio ya Wadau wa Programu ya Uwajibikaji na Utekelezaji wa Huduma za Kinga Jamii kwa Wazee (AFFORD) uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
MKURUGENZI wa Shirika la Help Age International Tanzania Ndg.Smart Daniel akizungumza na kuwashilisha salamu za Help Age wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Mwaka wa Wadau uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar leo 18-1-2021 na kufunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi.(Picha na Ikulu)
MTOWA Mada Ndg. Salum Mohammed akiwasilisha Mada kuhusiana na Mifumo ya Ulinzi wa Jamii Barani Afrika, kwa kupitia mifano ya Mfumo wa Kinga ya Jamii Zanzibar, akiwasilisha wakati wa ufunguzi wa mkutano wa mwaka wa mapitio ya Wadau, uliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akifuatilia Mada ya Mifumo ya Ulinzi wa Jamii Barani Afrika, kwa kupitia mifano ya Mfumo wa Kinga ya Jamii Zanzibar, ikiwasilishwa na Ndg.Salum Mohammed (hayupo pichani) (kushoto kwa Rais) Kaimu Waziri wa Afya Ustawi wa Jamii Wazee Jinsia na Watoto Mhe. Simai Mohammed Said na (kulia kwa Rais) Mkurugenzi wa Shirika la Help Age International Tanzania Ndg. Smart Daniel na Naibu Balozi wa Ireland Nchini Tanzania Bi. Chloe Horne.(Picha na Ikulu)
KAIMU Waziri wa Afya,Ustawi wa Jamii,Wazee,Jinsi na Watoto ambae pia ni Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe. Simai Mohammed Said, akizungumza kabla ya kumkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
BAADHI ya Viongozi wa Jumuiya ya Wazee Wastaaf Zanzibar wakifuatilia hutuba ya ufunguzi ya mkutano huo wa mwaka, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia na kuufungua mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
BAADHI ya Viongozi wa Jumuiya ya Wazee Wastaaf Zanzibar wakifuatilia hutuba ya ufunguzi ya mkutano huo wa mwaka, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia na kuufungua mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
 

Comments

Popular posts from this blog

CV YA KOCHA MPYA WA SIMBA PABLO FRANCO MARTIN "USIPIME"