ZIARA YA NAIBU WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU AKITEMBELEA MIRADI YA UZALISHAJIMALI YA WATU WENYE ULEMAVU JIJINI DAR ES SALAAM

Mwenyekiti wa Umoja wa Wafanyabiashara wenye Ulemavu (UWAWADA) akieleza jambo kwa Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Wenye Ulemavu Mhe. Ummy Nderiananga (wa pili kutoka kushoto) alipofanya ziara katika eneo la Machinga Complex ya kutembelea vikundi vya watu wenye ulemavu ambavyo vinajihusisha za shughuli za uzalishajimali.
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Wenye Ulemavu Mhe. Ummy Nderiananga (wa pili kutoka kushoto) akizungumza na Ndg. Galus Buriani (aliyekaa wenye ulemavu) wakati wa ziara yake ya kutembelea vikundi vya watu wenye ulemavu ambavyo vinajihusisha za shughuli za uzalishajimali na kuona namna walivyonufaika na mikopo inayotolewa na serikali kupitia halmashauri 10% (Wanawake 4%, Vijana 4% na Watu wenye Ulemavu 2%).
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu (Wenye Ulemavu) Mhe. Ummy Nderiananga (kulia)akimsikiliza Meneja Karakana ya Disabled Aid & General Engineering (DAGE), Ndg. Henry Chacha (katikati wenye ulemavu) wakati wa ziara yake ya kutembelea vikundi vya watu wenye ulemavu ambavyo vinajihusisha za shughuli za uzalishajimali kupitia uwezeshaji wa mikopo inayotolewa na serikali kupitia halmashauri.
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu (Wenye Ulemavu) Mhe. Ummy Nderiananga akisaini kitabu cha wageni alipotembelea kikundi cha watu wenye ulemavu cha Disabled Aid & General Engineering (DAGE) kinachojishughulisha na ufundi vyuma katika eneo la SIDO jijini Dar es Salaam. Kulia ni Katibu wa kikundi cha watu wenye ulemavu cha Disabled Aid & General Engineering (DAGE) Bw. Patrick Mdachi.
Muonekano wa Baiskeli ya Matairi Matatu inayotengenezwa na kikundi cha watu wenye ulemavu cha Disabled Aid & General Engineering (DAGE) kilichopo SIDO, Jijini Dar es Salaam.
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Wenye Ulemavu Mhe. Ummy Nderiananga (kulia) akimsikiliza Katibu wa Kikundi cha Disabled Living Art Group kinachojishughulisha na uzalishaji wa viatu vya Ngozi katika eneo la Machinga Complex alipotembea vikundi hivyo kuona namna walivyonufaika na mikopo inayotolewa na serikali kupita halmashauri 10% (Wanawake 4%, Vijana 4% na Watu wenye Ulemavu 2%).
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Wenye Ulemavu Mhe. Ummy Nderiananga (wa pili kutoka kushoto) akijaribu makobasi “Sandals” alipotembelea Kikundi cha Disabled Living Art Group kinachojishughulisha na uzalishaji wa viatu vya Ngozi katika eneo la Machinga Complex, Jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Umoja wa Wafanyabiashara wenye Ulemavu (UWAWADA) akieleza jambo kwa Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Wenye Ulemavu Mhe. Ummy Nderiananga (wa pili kutoka kushoto) alipofanya ziara katika eneo la Machinga Complex ya kutembelea vikundi vya watu wenye ulemavu ambavyo vinajihusisha za shughuli za uzalishajimali.
 

Comments

Popular posts from this blog

CV YA KOCHA MPYA WA SIMBA PABLO FRANCO MARTIN "USIPIME"