LOWASSA, KINANA WAMPA TAFU JPM AKIHUTUBIA HALAIKI YA WATU JIJINI ARUSHA
Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi Rais Dkt. John Pombe Magufuli akipongezwa na Waziri Mkuu Mstaafu Mhe Edward Lowassa na Katibu Mkuu wa CCM Mstaafu Ndugu Abdulrahman Kinana baada ya kuhutubia maelfu kwa
maelfu ya wananchi waliofurika katika Uwanja wa Kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid jijini Arusha katika mkutano wake wa kampeni leo Ijumaa Oktoba 23, 2020
Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi Rais Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia maelfu kwa maelfu ya wananchi waliofurika katika uwanja wa Kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid jijini Arusha kumsikiliza katika mkutano wake wa kampeni leo Ijumaa Oktoba 23, 2020.
Sehemu ya maelfu kwa maelfu ya wananchi waliofurika katika Uwanja
wa Kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid jijini Arusha kumsikiliza mgombea
Urais wa Chama cha Mapinduzi Rais Dkt. John Pombe Magufuli leo Ijumaa
Oktoba 23, 2020
Sehemu ya maelfu kwa maelfu ya wananchi waliofurika katika Uwanja
wa Kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid jijini Arusha kumsikiliza mgombea
Urais wa Chama cha Mapinduzi Rais Dkt. John Pombe Magufuli leo Ijumaa
Oktoba 23, 2020
Sehemu ya maelfu kwa maelfu ya wananchi waliofurika katika Uwanja
wa Kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid jijini Arusha kumsikiliza mgombea
Urais wa Chama cha Mapinduzi Rais Dkt. John Pombe Magufuli leo Ijumaa
Oktoba 23, 2020
Comments
Post a Comment