MGOMBEA URAIS WA TANZANIA KUPITIA CCM, RAIS MAGUFULI AHUTUBIA IKUNGI

Mgombea kiti cha Rais wa Tanzania kupitia CCM, Rais John Magufuli amehutubia mamia ya Wananchi wilayani Ikungi akiwa njiani kwenda Singida ambako Alasiri  hii ya Septemba 1, 2020 anatarajiwa kuhutubia mkutaano mkubwa wa kampeni. Uchaguzi Mkuu unatarajiwa kufanyika Oktoba 28, 2020 ambapo jumla ya vyama 15 vitachuana kuwania nafasi hiyo ya juu kabisa ya uongozi wa Nchi.





 

Comments

Popular posts from this blog

CV YA KOCHA MPYA WA SIMBA PABLO FRANCO MARTIN "USIPIME"